Если бы они нашли убежище, пещеру или укрытие, то они поспешно направились бы туда.
Тафсиры
Слои
Уроки
Размышления
Ответы
Кираат
Хадис
Lau wanafiki hawa wapata mahala pa usalama na ngome ya kuwahifadhi, au pango kwenye jabali litakalowapa makao au handaki ndani ya ardhi itakaowaokoa na nyinyi, basi wangalikwenda huko mbiombio.