Войти
Войти
Войти
Выберите язык

Тафсир: At-Tawbah 9:82

9:82
فليضحكوا قليلا وليبكوا كثيرا جزاء بما كانوا يكسبون ٨٢
فَلْيَضْحَكُوا۟ قَلِيلًۭا وَلْيَبْكُوا۟ كَثِيرًۭا جَزَآءًۢ بِمَا كَانُوا۟ يَكْسِبُونَ ٨٢
فَلۡيَضۡحَكُواْ
قَلِيلٗا
وَلۡيَبۡكُواْ
كَثِيرٗا
جَزَآءَۢ
بِمَا
كَانُواْ
يَكۡسِبُونَ
٨٢
Пусть они мало смеются и много плачут в воздаяние за то, что они приобретали!
Тафсиры
Слои
Уроки
Размышления
Ответы
Кираат
Хадис
Basi na wacheke hao wanafiki waliojiweka nyuma wasimwandame Mtume wa Mwenyezi Mungu katika vita vya Tabūk, kidogo katika uhai wao wa kilimwengu wenye kumalizika, na walie sana katika Moto wa Jahanamu, ukiwa ni malipo ya yale ambayo walikuwa wakiyachuma duniani ya unafiki na ukafiri.