Если Мы пожелаем, то ниспошлем им с неба знамение, перед которым покорно склонятся их шеи.
Тафсиры
Слои
Уроки
Размышления
Ответы
Кираат
Хадис
Tukitaka tutawateremshia wakanushaji, miongoni mwa watu wako, miujiza itokayo mbinguni yenye kuwaogopesha itakayowalazimisha wao kuamini, na hapo shingo zao ziwe zimenyongeka na kudhalilika. Lakini hatukutaka hilo, kwani Imani yenye kunufaisha ni kuyaamini yaliyoghibu kwa hiyari.[