Он сказал: «О нет! Со мной - мой Господь, и Он укажет мне прямой путь».
Тафсиры
Слои
Уроки
Размышления
Ответы
Кираат
Хадис
Mūsā alisema kuwaambia, «Sivyo! Mambo si kama mlivyotaja. Hamtafikiwa. Kwa hakika Mwenyezi Mungu Yupo na mimi kwa msaada, Ataniongoza njia ya kuokoka mimi na kuokoka nyinyi.»