Они говорят: «Милостивый взял Себе сына». Пречист Он! Они же - почитаемые рабы.
Тафсиры
Слои
Уроки
Размышления
Ответы
Кираат
Хадис
Na washirikina walisema, «Mwenyezi Mungu Amejifanyia mtoto» kwa madai yao kwamba Malaika ni watoto wa kike wa Mwenyezi Mungu. Ametakasika Mwenyezi Mungu na hilo! Malaika ni waja wa Mwenyezi Mungu waliokurubishwa waliohusishwa kwa kupewa matukufu,