Затем они принялись за свое и сказали: «Ты же знаешь, что они не способны разговаривать».
Тафсиры
Слои
Уроки
Размышления
Ответы
Кираат
Хадис
Punde si punde ukakamavu wao uliwarudia baada ya kushindwa hoja, wakageuka kurudi kwenye ubatilifu wao na wakatumia hoja dhidi ya Ibrāhīm ambayo ni hoja dhidi yao wakasema, «Vipi tutawauliza na hali wewe unajua kuwa hawa hawasemi?»