Если бы они были богами, то не вошли бы туда. Но все они останутся там навечно.
Тафсиры
Слои
Уроки
Размышления
Ответы
Кираат
Хадис
Lau hawa ambao mliwaabudu badala ya Mwenyezi Mungu Aliyetukuka walikuwa ni waungu wanaostahiki kuabudiwa, hawangaliingia moto wa Jahanamu pamoja na nyinyi, enyi washirikina. Kwa hakika, wote hao, waabudu na waabudiwa, ni wenye kukaa milele ndani ya moto wa Jahanamu.