Разве ты не видел тех, которые препираются относительно знамений Аллаха? До чего же они отвращены от истины?
Тафсиры
Слои
Уроки
Размышления
Ответы
Кираат
Хадис
Je, huwaonei ajabu, ewe Mtume, hawa wakanushaji wa aya za Mwenyezi Mungu vile wanavyoshindana nazo, na hali hizo ziko wazi katika kutolea ushahidi upweke wa Mwenyezi Mungu na uweza Wake, ni vipi wao wanaziepuka pamoja na usahihi wake? Na wataenda kwenye kitu gani baada ya huu ufafanuzi kamili?