Он был благодарен Аллаху за благодеяния, и Он избрал его и повел прямым путем.
Тафсиры
Слои
Уроки
Размышления
Ответы
Кираат
Хадис
Na alikuwa ni mwenye kuzishukuru neema za Mwenyezi Mungu kwake. Mwenyezi Mungu Alimchagua kwa ujumbe Wake na Akamuongoza kwenye njia iliyolingana sawa, nayo ni Uislamu.