Мы даровали ему добро в мирской жизни, а в Последней жизни он будет в числе праведников.
Тафсиры
Слои
Уроки
Размышления
Ответы
Кираат
Хадис
Na tulimpa ulimwenguni neema nzuri ya kusifiwa na watu waliokuja nyuma yake, kufuatwa na kuwa na watoto wema. Na yeye, mbele ya Mwenyezi Mungu, huko Akhera, ni miongoni mwa watu wema wenye daraja za juu.