Они поклоняются помимо Аллаха тому, что не имеет и не может иметь для них удел на небесах и на земле.
Тафсиры
Слои
Уроки
Размышления
Ответы
Кираат
Хадис
Na washirikina wanaabudu masanamu ambayo hayana mamlaka ya kuwapa riziki itokayo mbinguni kama mvua wala itokayo ardhini kama mazao. Wao hawamiliki kitu chochote wala hapana uezekano wowote kwa wao kukimiliki, kwani wao hawawezi.