Знамение было и в рассказе о самудянах. Им было сказано: «Пользуйтесь благами до определенного времени».
Тафсиры
Слои
Уроки
Размышления
Ответы
Кираат
Хадис
Na kuhusu watu wa kabila la Thamūd na kuangamizwa kwao kuna dalili na mazingatio, walipoambiwa-na msemaji hapa ni Nabii wao Ṣāliḥ, amani imshukie-, «Jistarehesheni mjini kwenu siku tatu mpaka muda wenu wa kuishi ukome.