Войти
Войти
Войти
Выберите язык

Тафсир: Adh-Dhariyat 51:57

51:57
ما اريد منهم من رزق وما اريد ان يطعمون ٥٧
مَآ أُرِيدُ مِنْهُم مِّن رِّزْقٍۢ وَمَآ أُرِيدُ أَن يُطْعِمُونِ ٥٧
مَآ
أُرِيدُ
مِنۡهُم
مِّن
رِّزۡقٖ
وَمَآ
أُرِيدُ
أَن
يُطۡعِمُونِ
٥٧
Я не хочу от них никакого удела и не хочу, чтобы они кормили Меня.
Тафсиры
Слои
Уроки
Размышления
Ответы
Кираат
Хадис
Sitaki kutoka kwao riziki wala sitaki wanilishe, kwani mimi Ndiye Mpaji Mwenye kuruzuku. Kwani Yeye, Aliyetakasika na kila sifa za upungufu, hawahitaji viumbe Vyake, bali wao ndio wahitaji Kwake katika hali zao zote, Yeye Ndiye Mwenye kuwaumba na kuwaruzuku na Aliyejikwasisha nao kwa kutowahitajia.