Мы сделали их предводителями, которые призывают в Огонь, и в День воскресения им не окажут помощи.
Тафсиры
Слои
Уроки
Размышления
Ответы
Кираат
Хадис
Na tumemfanya Fir’awn na watu wake ni wenye kuongoza kwenye njia ya motoni, wakifuatwa na watu wa ukafiri na uasi. Na Siku ya Kiyama hawataokolewa. Hiyo ni kwa sababu ya ukafiri wao na kuwakanusha kwao Mitume wa Mola wao na kuendelea kwao kufanya hivyo.