даровать им власть на земле и показать Фараону, Хаману и их воинам то, чего они остерегались.
Тафсиры
Слои
Уроки
Размышления
Ответы
Кираат
Хадис
Na tuwape uthabiti katika nchi na tumfanye Fir’awn, Hāmān na askari wao waone, kutoka kundi hili linalonyongeshwa kile walichokuwa wakikiogopa cha kuangamia kwao na kuondoka ufalme wao na kuwatoa wao kwenye nyumba zao kwa mkono wa mzaliwa wa Wana wa Isrāīl.