А тот, кто раскаялся, уверовал и поступал праведно, возможно, окажется в числе преуспевших.
Тафсиры
Слои
Уроки
Размышления
Ответы
Кираат
Хадис
Ama yule aliyetubia kati ya washirikina na akamtakasia Mwenyezi Mungu ibada na akafanya matendo yanayoambatana na amri Yake na Mtume Wake, yeye ni katika wale wanaofuzu katika Nyumba Mbili.