Никто из их сотоварищей не заступится за них, и они отвергнут своих сотоварищей.
Тафсиры
Слои
Уроки
Размышления
Ответы
Кираат
Хадис
Na washirikina , Siku hiyo, hawatokuwa na waombezi kati ya waungu wao waliokuwa wakiwaabudu badala ya Mwenyezi Mungu, bali wao, hao waungu, watajiepusha nao na wao watajiepusha nao. Maombezi ni ya Mwenyezi Mungu Peke Yake, na hayatafutwi kutoka kwa mwingine.