Если бы ты видел, как они будут напуганы. Они не смогут сбежать и будут схвачены поблизости.
Тафсиры
Слои
Уроки
Размышления
Ответы
Кираат
Хадис
Na lau ungaliona, ewe Mtume, pindi watakapobabaika wakanushaji pale watakapoishuhudia adhabu ya Mwenyezi Mungu, ungaliona jambo kubwa! Hawatakuwa na uokozi wala makimbilio na watachukuliwa hadi Motoni kutoka mahali karibu pa kutwaliwa.