Обитатели Огня не равны обитателям Рая. Обитатели Рая являются преуспевшими.
Тафсиры
Слои
Уроки
Размышления
Ответы
Кираат
Хадис
Hawalingani sawa, watu wa Motoni wanaoadhibiwa na watu wa Peponi wanaostareheshwa. Watu wa Peponi ndio wenye kupata kila kinachotakiwa, ndio wenye kuokoka na kila kinachochukiwa.