Повинуйтесь Аллаху и Посланнику, - быть может, вы будете помилованы.
Тафсиры
Слои
Уроки
Размышления
Ответы
Кираат
Хадис
Na mtiini Mwenyezi Mungu, enyi waumini, katika yale Aliyowaamrisha kwayo ya twaa nay ale Aliyowakataza nayo ya kula riba na mengineyo. Na mtiini Mtume ili mpate kurehemewa na msiiadhibiwe.