Войти
Войти
Войти
Выберите язык

Тафсир: Al-'Adiyat 100:1

100:1
والعاديات ضبحا ١
وَٱلْعَـٰدِيَـٰتِ ضَبْحًۭا ١
وَٱلۡعَٰدِيَٰتِ
ضَبۡحٗا
١
Клянусь скачущими, запыхаясь!
Тафсиры
Слои
Уроки
Размышления
Ответы
Кираат
Хадис
Mwenyezi Mungu Anaapa kwa farasi wenye kwenda shoti katika njia Yake kumkabili adui, wakitoa sauti kwa kasi ya kukimbia. Haifai kwa kiumbe kuapa kwa asiyekuwa Mwenyezi Mungu. Kuapa kwa asiyekuwa Mwenyezi Mungu ni ushirikina.