Совершайте намаз и бойтесь Его, ведь к Нему вы будете собраны».
Тафсиры
Слои
Уроки
Размышления
Ответы
Кираат
Хадис
Na hivyohivyo tumeamrishwa tusimamishe Swala kikamilifu, tumuogope Yeye kwa kufanya maamrisho Yake na kuepuka makatazo Yake. Na Yeye, Aliyetukuka na kuwa juu, Ndiye Ambaye Kwake Yeye watakusanywa viumbe wote Siku ya Kiyama.