А также к тем, которые не застали их. Он - Могущественный, Мудрый.
Тафсиры
Слои
Уроки
Размышления
Ответы
Кираат
Хадис
Amemtuma yeye kwa watu wengine watakaokuja ambao bado hawajakuja miongoni mwa Waarabu na wengineo. Na Mwenyezi Mungu Aliyetukuka, Peke Yake, Ndiye Mshindi mwenye kushinda juu ya kila kitu, Mwingi wa hekima katika maneno Yake na matendo Yake.