Но они никогда не пожелают этого из-за того, что приготовили их руки. Аллаху известно о беззаконниках.
Тафсиры
Слои
Уроки
Размышления
Ответы
Кираат
Хадис
Na wala hawa Mayahudi hawatatamani kifo kabisa kwa vile wanavyoyapenda maisha ya duniani kuliko Akhera na kwa kuogopa kuteswa na Mwenyezi Mungu kwa sababu ya yale waliyoyatanguliza ya ukafiri na matendo maovu. Na Mwenyezi Mungu Anawajua mno madhalimu, hakifichamani Kwake chochote cha udhalimu wao.