Вы уже знаете о первом сотворении. Почему же вы не помяните назидание?
Тафсиры
Слои
Уроки
Размышления
Ответы
Кираат
Хадис
Na hakika mlijua kuwa Mwenyezi Mungu Aliwaumba uumbaji wa kwanza na hamkuwa kitu chochote. Basi si mkumbuke uweza wa Mwenyezi Mungu wa kuwaumba mara nyingine?