Войти
Войти
Войти
Выберите язык

Тафсир: Al-Ahzab 33:42

33:42
وسبحوه بكرة واصيلا ٤٢
وَسَبِّحُوهُ بُكْرَةًۭ وَأَصِيلًا ٤٢
وَسَبِّحُوهُ
بُكۡرَةٗ
وَأَصِيلًا
٤٢
и славьте Его утром и перед закатом.
Тафсиры
Слои
Уроки
Размышления
Ответы
Кираат
Хадис
Na zishughulisheni nyakati zenu kwa kumtaja Mwenyezi Mungu, Aliyetukuka, asubuhi na jioni, baada ya Swala za faradhi na nyakati za matukio maalumu na sababu, kwani huko kumtaja Mwenyezi Mungu ni ibada iliowekwa na Sheria, inapelekea kwenye mapenzi ya Mwenyezi Mungu na kujizuia na madhambi, na inasaidia kila kheri.