Их взоры потупятся, и унижение покроет их. Это будет тот день, который им обещан!
Тафсиры
Слои
Уроки
Размышления
Ответы
Кираат
Хадис
hali ya kuwa macho yao ni madhalilifu yanatazama chini, wamefinikwa na unyonge na utwevu. Hiyo ndiyo Siku waliyoahidiwa duniani na walikuwa wakiifanyia shere na kuikanusha.