Фараон со своим войском бросился преследовать их, но море накрыло их полностью.
Тафсиры
Слои
Уроки
Размышления
Ответы
Кираат
Хадис
Basi Mūsā alikwenda usiku pamoja na Wana wa Isrāīl akavuka nao kwenye njia ya bahari, hapo Fir'awn pamoja na askari wake wakawafuata, maji yakawafinika, kwa namna ambayo hakuna anayoijua isipokuwa Mwenyezi Mungu, na wote walizama isipokuwa Mūsā na watu wake.