So Allah made them taste humiliation in this worldly life, but far worse is the punishment of the Hereafter, if only they knew.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Basi Mwenyezi Mungu Akawaonjesha ummah waliokanusha adhabu na unyonge duniani, na Akawaandalia adhabu kali zaidi na ngumu zaidi huko Akhera. Lau hawa washirikina wangalijua, kuwa kile kilichowashukia ni kwa sababu ya ukafiri wao na ukanushaji wao, wangaliwaidhika.