Для них у их Господа уготовано то, чего они пожелают. Таково воздаяние творящим добро!
Тафсиры
Слои
Уроки
Размышления
Ответы
Кираат
Хадис
Wao watayapata wanayoyataka kwa Mola wao miongoni mwa aina ya vitu vya ladha na matamanio. Hayo ndiyo malipo ya anayemtii Mola wake vile inavyopasa kutiiwa na akamuabudu vile inavyopasa kuabudiwa.