Close friends will be enemies to one another on that Day, except the righteous,
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Marafiki katika kumuasi Mwenyezi Mungu duniani watatengana wao kwa wao Siku ya Kiyama. Lakini wale waliofanya urafiki juu ya uchaji Mwenyezi Mungu, urafiki wao utadumu duniani na Akhera.