Но какой бы пророк ни приходил к ним, они издевались над ним.
Тафсиры
Слои
Уроки
Размышления
Ответы
Кираат
Хадис
Hawajiwi na Nabii yoyote isipokuwa huwa wakimcheza shere kama vile watu wako walivyokucheza shere, basi tukawaangamiza wale waliowakanusha Mitume wetu, nao walikuwa ni wenye nguvu kali na ushujaa wa kivita kuliko watu wako, ewe Mtume.