Мы погубили тех, которые превосходили их мощью, и уже миновали примеры прежних поколений.
Тафсиры
Слои
Уроки
Размышления
Ответы
Кираат
Хадис
Na yashapita mateso ya wa mwanzo kwa kuangamizwa kwa sababu ya ukanushaji wao, ujeuri wao na kuwacheza shere Mitume wao. Katika haya pana maliwazo kwa Nabii, rehema na amani zimshukie.