Оставь же их погружаться в словоблудие и забавляться, пока они не встретят тот день их, который им обещан.
Тафсиры
Слои
Уроки
Размышления
Ответы
Кираат
Хадис
Basi waache, ewe Mtume, hao wenye kumzulia Mwenyezi Mungu urongo wavame kwenye ubatilifu wao na wacheze katika dunia yao mpaka wapambane na hiyo Siku yao ambayo wanaahidiwa kuwa wataadhibiwa: ima hapa duniani au kesho akhera au kote kuwili.