Он сказал: «Господи! Воистину, они - люди неверующие».
Тафсиры
Слои
Уроки
Размышления
Ответы
Кираат
Хадис
Na Atasema Mtume, rehema ya Mwenyezi Mungu amani zimshukie, huku akimshtakia watu wake waliomkanusha kwa Mola Wake kwa kusema, «Hawa ni watu hawakuamini wewe wala kile ulichonituma kwao.