Они не веруют в него (Коран), хотя уже были примеры первых поколений.
Тафсиры
Слои
Уроки
Размышления
Ответы
Кираат
Хадис
hawauamini Ukumbusho ulioteremshwa kwako. Na umeshapita mwendo wa wamwanzo wa kuwaangamiza wakanushaji. Na hawa ni kama wao, wataangamizwa wenye kuendelea na ukafiri na ukanushaji miongoni mwao.