Они вошли к нему и сказали: «Мир!». Он сказал: «Воистину, мы опасаемся вас».
Тафсиры
Слои
Уроки
Размышления
Ответы
Кираат
Хадис
Pindi walipoingia kwake na wakamwamkia kwa kusema, «Amani.» Hapo naye akawarudishia maamkizi ya amani. Kisha akwaletea chakula na wao wasikile, na hapo akasema, «Sisi ni wenye kicho na nyinyi.»