которые сбивают других с пути Аллаха, стремясь исказить его, и не веруют в Последнюю жизнь.
Тафсиры
Слои
Уроки
Размышления
Ответы
Кираат
Хадис
Hawa madhalimu ni wale ambao wanawazuia watu na njia ya Mwenyezi Mungu yenye kupelekea kumuubudu na wanataka njia hizi ziwe kombo ziambatane na matamanio yao na wao wanaikanusha Akhera, hawaamini kufufuliwa wa kulipwa.