Мы создали человека из смешанной капли, подвергая его испытанию, и сделали его слышащим и зрячим.
Тафсиры
Слои
Уроки
Размышления
Ответы
Кираат
Хадис
Sisi tumemuumba binadamu kutokana na tone la manii la mchanganyiko wa maji ya mwanamume na maji ya mwanamke, ili tumtahini kwa lazima za kisheria baadaye, hivyo basi tumfanya ni mwenye masikio ya kusikia na macho ya kuonea, apate kuzisikia aya na kuziona dalili.