As for those who strive to discredit Our revelations, it is they who will suffer the ˹worst˺ torment of agonizing pain.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Na wale wanaotembea katika kuizuia njia ya Mwenyezi Mungu, kuwakanusha Mitume Wake na kuzitangua aya zetu huku wakiteta na Mwenyezi Mungu wakipinga amri Zake, hao watakuwa na adhabu mbaya zaidi na yenye ukali mwingi zaidi.