Identifikohu
Identifikohu
Identifikohu
Zgjidh Gjuhën

Tefsir: Al-Ahzab 33:42

33:42
وسبحوه بكرة واصيلا ٤٢
وَسَبِّحُوهُ بُكْرَةًۭ وَأَصِيلًا ٤٢
وَسَبِّحُوهُ
بُكۡرَةٗ
وَأَصِيلًا
٤٢
dhe lavdërojeni Atë në mëngjes dhe në mbrëmje!
Tefsiret
Shtresat
Mësimet
Reflektime
Përgjigjet
Kiraat
Hadith
Na zishughulisheni nyakati zenu kwa kumtaja Mwenyezi Mungu, Aliyetukuka, asubuhi na jioni, baada ya Swala za faradhi na nyakati za matukio maalumu na sababu, kwani huko kumtaja Mwenyezi Mungu ni ibada iliowekwa na Sheria, inapelekea kwenye mapenzi ya Mwenyezi Mungu na kujizuia na madhambi, na inasaidia kila kheri.