Identifikohu
Identifikohu
Identifikohu
Zgjidh Gjuhën

Tefsir: Ali 'Imran 3:34

3:34
ذرية بعضها من بعض والله سميع عليم ٣٤
ذُرِّيَّةًۢ بَعْضُهَا مِنۢ بَعْضٍۢ ۗ وَٱللَّهُ سَمِيعٌ عَلِيمٌ ٣٤
ذُرِّيَّةَۢ
بَعۡضُهَا
مِنۢ
بَعۡضٖۗ
وَٱللَّهُ
سَمِيعٌ
عَلِيمٌ
٣٤
(Ata ishin) pasardhës të njëri - tjetrit. Allahu dëgjon dhe di çdo gjë.
Tefsiret
Shtresat
Mësimet
Reflektime
Përgjigjet
Kiraat
Hadith
Manabii hawa na Mitume ni mlolongo wa usafi wenye kuungana katika kumtakasa Mwenyezi Munguna, kumpwekesha na kutenda vitendo vinavyoambatana na wahyi Wake. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kuyasikia maneno ya waja Wake, ni Mjuzi wa vitendo vyao na Atawalipa kwavyo.