Ingia
Ingia
Ingia
Chagua Lugha

Tafsir: Ash-Shuaraa 26:207

26:207
ما اغنى عنهم ما كانوا يمتعون ٢٠٧
مَآ أَغْنَىٰ عَنْهُم مَّا كَانُوا۟ يُمَتَّعُونَ ٢٠٧
مَآ
أَغۡنَىٰ
عَنۡهُم
مَّا
كَانُواْ
يُمَتَّعُونَ
٢٠٧
Yatawafaa nini yale waliyo stareheshewa?. 1
Tafsir
Tabaka
Mafunzo
Tafakari
Majibu
Qiraat
Hadith
Hakutawafaa kitu kule kustarehe kwao kwa umri mrefu na maisha mazuri wasipotubia kutokana na ushirikina wao. Basi adhabu ya Mwenyezi Mungu ni yenye kuwashukia hivi karibuni (ulimwenguni) au baadaye (huko Akhera).