Mwenyezi Mungu ni Mlinzi wa walio amini. Huwatoa gizani na kuwaingiza mwangazani. Lakini walio kufuru, walinzi wao ni Mashet'ani. Huwatoa kwenye mwangaza na kuwaingiza gizani. Hao ndio watu wa Motoni, na humo watadumu. 1
Tafsir
Tabaka
Mafunzo
Tafakari
Majibu
Qiraat
Hadith
Commentary
This verse also tells us that faith ('Iman ایمان ) is the greatest blessing
and disbelief (kufr کفر ) is the greatest misfortune, and that there is darkness in friendship with those who disbelieve (kuffar کُفار ).