Ad-Dukhan 44:40 ان يوم الفصل ميقاتهم اجمعين ٤٠
إِنَّ
يَوۡمَ
ٱلۡفَصۡلِ
مِيقَٰتُهُمۡ
أَجۡمَعِينَ
٤٠
Hakika siku ya Uamuzi ni wakati ulio wekwa kwa wao wote. 1
Soma Tafsir
Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
Hakika Siku ya Uamuzi baina ya viumbe kwa waliyoyatanguliza katika dunia yao, ya kheri na ya shari, ndio wakati wa mkusanyiko wao wote.