Ingia
Ingia
Ingia
Chagua Lugha

Tafsir: Al-Aaraf 7:5

7:5
فما كان دعواهم اذ جاءهم باسنا الا ان قالوا انا كنا ظالمين ٥
فَمَا كَانَ دَعْوَىٰهُمْ إِذْ جَآءَهُم بَأْسُنَآ إِلَّآ أَن قَالُوٓا۟ إِنَّا كُنَّا ظَـٰلِمِينَ ٥
فَمَا
كَانَ
دَعۡوَىٰهُمۡ
إِذۡ
جَآءَهُم
بَأۡسُنَآ
إِلَّآ
أَن
قَالُوٓاْ
إِنَّا
كُنَّا
ظَٰلِمِينَ
٥
Basi hakikuwa kilio chao ilipo wafikia adhabu yetu, isipo kuwa kusema: Hakika sisi tulikuwa wenye kudhulumu. 1
Tafsir
Tabaka
Mafunzo
Tafakari
Majibu
Qiraat
Hadith
Basi hawakuwa na neno la kunena ilipoteremka adhabu isipokuwa ni kukubali kwao kwamba walifanya madhambi na walikosea na kwamaba wao wanastahili kupata adhabu iliyowashukia.