Al-Aaraf 7:99 افامنوا مكر الله فلا يامن مكر الله الا القوم الخاسرون ٩٩
أَفَأَمِنُواْ
مَكۡرَ
ٱللَّهِۚ
فَلَا
يَأۡمَنُ
مَكۡرَ
ٱللَّهِ
إِلَّا
ٱلۡقَوۡمُ
ٱلۡخَٰسِرُونَ
٩٩
. Je, wamejiaminisha na mipango ya Mwenyezi Mungu? Kwani hawajiaminishi na mipango ya Mwenyezi Mungu ila watu wenye kukhasiri. 1
Soma Tafsir
Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
Je, wamejiaminisha, watu wa miji iliyokanusha, na vitimbi vya Mwenyezi Mungu kwao na kuwapa Kwake wao muhula, kwa kuwaachilia na yale Aliyowaneemesha nayo katika dunia yao, kwa njia ya kuwatesa sababu ya vitimbi vyao? Basi hawajiaminishi na vitimbi vya Mwenyezi Mungu isipokuwa watu wenye kuangamia.
Je, wamejiaminisha, watu wa miji iliyokanusha, na vitimbi vya Mwenyezi Mungu kwao na kuwapa Kwake wao muhula, kwa kuwaachilia na yale Aliyowaneemesha …