Al-Ahqaf 46:14 اولايك اصحاب الجنة خالدين فيها جزاء بما كانوا يعملون ١٤
أُوْلَٰٓئِكَ
أَصۡحَٰبُ
ٱلۡجَنَّةِ
خَٰلِدِينَ
فِيهَا
جَزَآءَۢ
بِمَا
كَانُواْ
يَعۡمَلُونَ
١٤
Hao ndio watu wa Peponi, watadumu humo, kuwa ni malipo kwa waliyo kuwa wakiyatenda. 1
Soma Tafsir
Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
Hao ni wa watu wa Peponi, watakaa humo milele kwa rehema za Mwenyezi Mungu, Aliyetukuka, juu yao , na kwa yale waliyoyatanguliza ya matendo mema katika dunia yao.
Hao ni wa watu wa Peponi, watakaa humo milele kwa rehema za Mwenyezi Mungu, Aliyetukuka, juu yao , na kwa yale waliyoyatanguliza ya matendo mema katik…