Al-Fat-H 48:3 وينصرك الله نصرا عزيزا ٣
وَيَنصُرَكَ
ٱللَّهُ
نَصۡرًا
عَزِيزًا
٣
Na Mwenyezi Mungu akunusuru nusura yenye nguvu .
Soma Tafsir
Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
Akunusuru juu ya maadui wako na Akuongoze njia ya Dini iliyolingana sawa isiyopotoka , na Mwenyezi Mugu Akunusuru kwa nguvu kwa namna ambayo Uislamu hautakuwa mnyonge.
Akunusuru juu ya maadui wako na Akuongoze njia ya Dini iliyolingana sawa isiyopotoka , na Mwenyezi Mugu Akunusuru kwa nguvu kwa namna ambayo Uislamu h…