Al-Hijr 15:53 قالوا لا توجل انا نبشرك بغلام عليم ٥٣
قَالُواْ
لَا
تَوۡجَلۡ
إِنَّا
نُبَشِّرُكَ
بِغُلَٰمٍ
عَلِيمٖ
٥٣
Wakasema: Usiogope. Sisi tunakubashiria kijana mwenye ujuzi. 1
Soma Tafsir
Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
Malaika wakamwambia, «Usiwe na kicho. Sisi tumekuja kukupa habari njema kwamba utapata mwana atakayekuwa na ujuzi mwingi wa Dini, naye ni Is’ḥāq.»